Mwanzo 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Baada ya hayo Abrahamu alichukua kuni za toleo la kuteketezwa akamtwika Isaka mwana wake,+ naye akachukua mikononi mwake moto na kisu cha kuchinjia, na wote wawili wakasonga mbele pamoja.+ Mathayo 27:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Walipokuwa wakiondoka walimkuta mzaliwa wa Kirene anayeitwa Simoni.+ Wakamlazimisha aubebe mti wake wa mateso.
6 Baada ya hayo Abrahamu alichukua kuni za toleo la kuteketezwa akamtwika Isaka mwana wake,+ naye akachukua mikononi mwake moto na kisu cha kuchinjia, na wote wawili wakasonga mbele pamoja.+
32 Walipokuwa wakiondoka walimkuta mzaliwa wa Kirene anayeitwa Simoni.+ Wakamlazimisha aubebe mti wake wa mateso.