Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 15:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Pia, wakamlazimisha mpita-njia afanye utumishi, mtu fulani anayeitwa Simoni, wa Kirene, aliyekuwa akija kutoka mashambani, baba ya Aleksanda na Rufo, kwamba aubebe mti wake wa mateso.+

  • Luka 23:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Sasa walipokuwa wakimpeleka, walimshika Simoni, mzaliwa wa Kirene, akija kutoka mashambani, nao wakamtwika mti wa mateso aubebe nyuma ya Yesu.+

  • Yohana 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Naye, akajibebea mti wa mateso,+ akaenda+ pale panapoitwa Mahali pa Fuvu la Kichwa, panapoitwa Golgotha katika Kiebrania;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki