Marko 15:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Pia, wakamlazimisha mpita-njia afanye utumishi, mtu fulani anayeitwa Simoni, wa Kirene, aliyekuwa akija kutoka mashambani, baba ya Aleksanda na Rufo, kwamba aubebe mti wake wa mateso.+ Luka 23:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Sasa walipokuwa wakimpeleka, walimshika Simoni, mzaliwa wa Kirene, akija kutoka mashambani, nao wakamtwika mti wa mateso aubebe nyuma ya Yesu.+ Yohana 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye, akajibebea mti wa mateso,+ akaenda+ pale panapoitwa Mahali pa Fuvu la Kichwa, panapoitwa Golgotha katika Kiebrania;+
21 Pia, wakamlazimisha mpita-njia afanye utumishi, mtu fulani anayeitwa Simoni, wa Kirene, aliyekuwa akija kutoka mashambani, baba ya Aleksanda na Rufo, kwamba aubebe mti wake wa mateso.+
26 Sasa walipokuwa wakimpeleka, walimshika Simoni, mzaliwa wa Kirene, akija kutoka mashambani, nao wakamtwika mti wa mateso aubebe nyuma ya Yesu.+
17 Naye, akajibebea mti wa mateso,+ akaenda+ pale panapoitwa Mahali pa Fuvu la Kichwa, panapoitwa Golgotha katika Kiebrania;+