4 Hilo lisitendeke kamwe! Bali Mungu na aonekane kuwa wa kweli,+ ingawa kila mwanadamu aonekane kuwa mwongo,+ kama ilivyoandikwa: “Ili uonekane kuwa mwadilifu katika maneno yako na ushinde wakati unapohukumiwa.”+
10 Mtu anayemwamini Mwana wa Mungu, ushahidi+ umetolewa kwa habari yake. Mtu asiye na imani katika Mungu amemfanya yeye kuwa mwongo,+ kwa sababu hakuwa na imani katika ushahidi uliotolewa,+ ambao Mungu akiwa shahidi+ ametoa kumhusu Mwana wake.