Ezekieli 16:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 “ ‘Nami nitawakusanya mateka wao,+ mateka wa Sodoma na wa miji yake ya kandokando, na mateka wa Samaria na wa miji yake ya kandokando; pia nitawakusanya mateka wako katikati yao,+ Waroma 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo imani hufuata jambo lililosikiwa.+ Nalo jambo lililosikiwa ni kupitia neno kumhusu Kristo.+
53 “ ‘Nami nitawakusanya mateka wao,+ mateka wa Sodoma na wa miji yake ya kandokando, na mateka wa Samaria na wa miji yake ya kandokando; pia nitawakusanya mateka wako katikati yao,+
17 Kwa hiyo imani hufuata jambo lililosikiwa.+ Nalo jambo lililosikiwa ni kupitia neno kumhusu Kristo.+