Zaburi 14:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Laiti wokovu wa Israeli ungetoka Sayuni!+Wakati ambapo Yehova anawakusanya tena mateka wa watu wake,+Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi.+ Zaburi 126:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 126 Yehova alipowakusanya tena mateka wa Sayuni,+Tulikuwa kama wale waliokuwa wanaota ndoto.+ Isaya 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kama Yehova wa majeshi hangalituachia waokokaji wachache tu,+ tungalikuwa kama Sodoma, tungalifanana na Gomora.+
7 Laiti wokovu wa Israeli ungetoka Sayuni!+Wakati ambapo Yehova anawakusanya tena mateka wa watu wake,+Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi.+
9 Kama Yehova wa majeshi hangalituachia waokokaji wachache tu,+ tungalikuwa kama Sodoma, tungalifanana na Gomora.+