Yohana 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 (Yohana alitoa ushahidi juu yake, ndiyo, kwa kweli alipaaza sauti—huyu ndiye aliyesema hilo—akisema: “Yule anayekuja nyuma yangu amekwenda mbele yangu, kwa sababu alikuwako kabla yangu.”)+ Yohana 1:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Yohana pia alitoa ushahidi, akisema: “Niliona roho ikishuka kama njiwa kutoka mbinguni, nayo ikakaa juu yake.+
15 (Yohana alitoa ushahidi juu yake, ndiyo, kwa kweli alipaaza sauti—huyu ndiye aliyesema hilo—akisema: “Yule anayekuja nyuma yangu amekwenda mbele yangu, kwa sababu alikuwako kabla yangu.”)+
32 Yohana pia alitoa ushahidi, akisema: “Niliona roho ikishuka kama njiwa kutoka mbinguni, nayo ikakaa juu yake.+