Wakolosai 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 kwa sababu Mungu aliona ni vema ujazo+ wote ukae katika yeye, Wakolosai 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hazina zote za hekima na za ujuzi zimefichwa kwa uangalifu ndani yake.+ Wakolosai 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 kwa sababu ni katika yeye kwamba ujazo+ wote wa sifa+ ya Mungu+ hukaa kimwili.