Yohana 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana sisi sote tulipokea kutokana na wingi alio nao,+ hata fadhili zisizostahiliwa juu ya fadhili zisizostahiliwa.+ Waroma 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana sifa zake ambazo hazionekani,+ zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea,+ kwa sababu zinaeleweka kwa vitu vilivyofanywa,+ yaani, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ hivi kwamba hawana sababu ya kujitetea.+
16 Kwa maana sisi sote tulipokea kutokana na wingi alio nao,+ hata fadhili zisizostahiliwa juu ya fadhili zisizostahiliwa.+
20 Kwa maana sifa zake ambazo hazionekani,+ zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea,+ kwa sababu zinaeleweka kwa vitu vilivyofanywa,+ yaani, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ hivi kwamba hawana sababu ya kujitetea.+