Matendo 16:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Wakasema: “Mwamini Bwana Yesu nawe utaokolewa,+ wewe na watu wa nyumba yako.”+ 1 Yohana 3:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa kweli, hii ndiyo amri yake, kwamba tuwe na imani katika jina la Mwana wake Yesu Kristo+ na tuwe tukipendana,+ kama yeye alivyotupa sisi amri.
23 Kwa kweli, hii ndiyo amri yake, kwamba tuwe na imani katika jina la Mwana wake Yesu Kristo+ na tuwe tukipendana,+ kama yeye alivyotupa sisi amri.