Yohana 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Kwa maana Mungu aliupenda+ ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa-pekee,+ ili kila mtu anayemwamini+ asiangamizwe+ bali awe na uzima wa milele.+ Yohana 6:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Kwa kweli kabisa ninawaambia, Yule ambaye huamini ana uzima wa milele.+
16 “Kwa maana Mungu aliupenda+ ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa-pekee,+ ili kila mtu anayemwamini+ asiangamizwe+ bali awe na uzima wa milele.+