Mathayo 12:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Ndipo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema: “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”+ Marko 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo akaugua sana+ rohoni mwake, na kusema: “Kwa nini kizazi hiki kinatafuta ishara? Kwa kweli mimi ninasema, Kizazi hiki hakitapewa ishara yoyote.”+ Yohana 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo, Wayahudi wakajibu, wakamwambia: “Una ishara+ gani ya kutuonyesha, kwa kuwa unafanya mambo haya?” 1 Wakorintho 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana Wayahudi wanaomba ishara+ na Wagiriki wanatafuta hekima;+
38 Ndipo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema: “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”+
12 Kwa hiyo akaugua sana+ rohoni mwake, na kusema: “Kwa nini kizazi hiki kinatafuta ishara? Kwa kweli mimi ninasema, Kizazi hiki hakitapewa ishara yoyote.”+
18 Kwa hiyo, Wayahudi wakajibu, wakamwambia: “Una ishara+ gani ya kutuonyesha, kwa kuwa unafanya mambo haya?”