Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 12:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Ndipo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema: “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”+

  • Marko 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa hiyo akaugua sana+ rohoni mwake, na kusema: “Kwa nini kizazi hiki kinatafuta ishara? Kwa kweli mimi ninasema, Kizazi hiki hakitapewa ishara yoyote.”+

  • Yohana 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa hiyo, Wayahudi wakajibu, wakamwambia: “Una ishara+ gani ya kutuonyesha, kwa kuwa unafanya mambo haya?”

  • 1 Wakorintho 1:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana Wayahudi wanaomba ishara+ na Wagiriki wanatafuta hekima;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki