Mathayo 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye Yesu, akijua fikira zao,+ akasema: “Kwa nini mnafikiri mambo maovu mioyoni mwenu?+ Yohana 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Lakini Yesu mwenyewe hakuwa akiwatumaini+ kwa sababu aliwajua wote Yohana 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa kweli, alimjua mtu anayemsaliti.+ Ndiyo sababu alisema: “Si wote kati yenu walio safi.”