22 Wazazi wake walisema mambo hayo kwa sababu walikuwa wakiwaogopa+ Wayahudi, kwa maana Wayahudi walikuwa tayari wamefikia mapatano kwamba, ikiwa yeyote angemkiri kuwa ndiye Kristo, angefukuzwa katika sinagogi.+
38 Basi baada ya mambo haya Yosefu kutoka Arimathea, aliyekuwa mwanafunzi wa Yesu lakini kwa siri kwa sababu alikuwa akiwaogopa Wayahudi,+ alimwomba Pilato apate kuondoa mwili wa Yesu; naye Pilato akampa ruhusa.+ Kwa hiyo akaja na kuuondoa mwili wake.+