Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 9:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Wazazi wake walisema mambo hayo kwa sababu walikuwa wakiwaogopa+ Wayahudi, kwa maana Wayahudi walikuwa tayari wamefikia mapatano kwamba, ikiwa yeyote angemkiri kuwa ndiye Kristo, angefukuzwa katika sinagogi.+

  • Yohana 12:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Hata hivyo, wengi hata kati ya watawala kwa kweli walimwamini,+ lakini kwa sababu ya Mafarisayo wakawa hawamkiri, ili wasifukuzwe katika sinagogi;+

  • Yohana 19:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Basi baada ya mambo haya Yosefu kutoka Arimathea, aliyekuwa mwanafunzi wa Yesu lakini kwa siri kwa sababu alikuwa akiwaogopa Wayahudi,+ alimwomba Pilato apate kuondoa mwili wa Yesu; naye Pilato akampa ruhusa.+ Kwa hiyo akaja na kuuondoa mwili wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki