Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 29:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kutetemeshwa na wanadamu ndiko huleta mtego,+ lakini yeye anayemtegemea Yehova atalindwa.+

  • Yohana 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Bila shaka, hakuna aliyekuwa akisema juu yake hadharani kwa sababu ya kuwaogopa Wayahudi.+

  • Yohana 19:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Basi baada ya mambo haya Yosefu kutoka Arimathea, aliyekuwa mwanafunzi wa Yesu lakini kwa siri kwa sababu alikuwa akiwaogopa Wayahudi,+ alimwomba Pilato apate kuondoa mwili wa Yesu; naye Pilato akampa ruhusa.+ Kwa hiyo akaja na kuuondoa mwili wake.+

  • Yohana 20:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa hiyo, ilipokuwa jioni-jioni siku hiyo, siku ya kwanza ya juma,+ na, ijapokuwa milango ilikuwa imefungwa mahali ambamo wanafunzi walikuwa kwa sababu ya kuwaogopa+ Wayahudi, Yesu alikuja+ na kusimama katikati yao na kuwaambia: “Na muwe na amani.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki