Yohana 1:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Lakini Nathanaeli akamwambia: “Je, kitu chochote kilicho chema kinaweza kutoka Nazareti?”+ Filipo akamwambia: “Njoo uone.”
46 Lakini Nathanaeli akamwambia: “Je, kitu chochote kilicho chema kinaweza kutoka Nazareti?”+ Filipo akamwambia: “Njoo uone.”