Mathayo 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa nafsi yake kuwa fidia badala ya wengi.”+ Yohana 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hakuna aliye na upendo mkuu kuliko huu, kwamba mtu aitoe nafsi yake kwa ajili ya rafiki zake.+ 1 Yohana 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hili tumeujua upendo,+ kwa sababu huyo aliitoa nafsi yake kwa ajili yetu;+ na sisi tuko chini ya wajibu kuzitoa nafsi zetu kwa ajili ya ndugu zetu.+
28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa nafsi yake kuwa fidia badala ya wengi.”+
16 Kwa hili tumeujua upendo,+ kwa sababu huyo aliitoa nafsi yake kwa ajili yetu;+ na sisi tuko chini ya wajibu kuzitoa nafsi zetu kwa ajili ya ndugu zetu.+