Yohana 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana niliweka kielelezo kwa ajili yenu, ili, kama vile nilivyowafanyia ninyi, ninyi pia mfanye hivyo.+ Waroma 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ambao wamehatarisha shingo+ zao wenyewe kwa ajili ya nafsi yangu, ambao si mimi tu bali pia makutaniko yote ya mataifa yanawashukuru;+ 1 Wathesalonike 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo, tukiwa na upendo mwororo kwa ajili yenu,+ tulipendezwa vema kuwapa ninyi, si habari njema ya Mungu tu, bali pia nafsi zetu wenyewe,+ kwa sababu ninyi mlikuwa wapendwa+ kwetu.
15 Kwa maana niliweka kielelezo kwa ajili yenu, ili, kama vile nilivyowafanyia ninyi, ninyi pia mfanye hivyo.+
4 ambao wamehatarisha shingo+ zao wenyewe kwa ajili ya nafsi yangu, ambao si mimi tu bali pia makutaniko yote ya mataifa yanawashukuru;+
8 Kwa hiyo, tukiwa na upendo mwororo kwa ajili yenu,+ tulipendezwa vema kuwapa ninyi, si habari njema ya Mungu tu, bali pia nafsi zetu wenyewe,+ kwa sababu ninyi mlikuwa wapendwa+ kwetu.