Luka 15:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye anapofika nyumbani huwaita rafiki zake na jirani zake pamoja, akiwaambia, ‘Shangilieni pamoja nami, kwa sababu nimempata kondoo wangu aliyekuwa amepotea.’+ Yohana 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mtunza-mlango+ humfungulia huyo, nao kondoo+ huisikiliza sauti yake, naye huwaita kondoo zake mwenyewe kwa jina na kuwatoa nje.
6 Naye anapofika nyumbani huwaita rafiki zake na jirani zake pamoja, akiwaambia, ‘Shangilieni pamoja nami, kwa sababu nimempata kondoo wangu aliyekuwa amepotea.’+
3 Mtunza-mlango+ humfungulia huyo, nao kondoo+ huisikiliza sauti yake, naye huwaita kondoo zake mwenyewe kwa jina na kuwatoa nje.