Mathayo 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Vivyo hivyo Baba yangu aliye mbinguni hatamani kwamba mmoja wa wadogo hawa aangamie.+ Waroma 12:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Shangilieni pamoja na watu wanaoshangilia;+ lieni pamoja na watu wanaolia. 1 Petro 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana mlikuwa kama kondoo, wanaopotea njia;+ lakini sasa mmerudi kwa mchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.
25 Kwa maana mlikuwa kama kondoo, wanaopotea njia;+ lakini sasa mmerudi kwa mchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.