Mathayo 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Pia, ninakuambia, Wewe ni Petro,+ na juu ya mwamba huu+ nitajenga kutaniko langu, na malango ya Kaburi*+ hayatalizidi nguvu.+ Marko 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na kikundi cha wale kumi na wawili aliofanyiza walikuwa Simoni, ambaye pia alimpa jina Petro,+ Luka 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Simoni, ambaye pia alimwita jina Petro,+ na Andrea ndugu yake, na Yakobo na Yohana,+ na Filipo+ na Bartholomayo,
18 Pia, ninakuambia, Wewe ni Petro,+ na juu ya mwamba huu+ nitajenga kutaniko langu, na malango ya Kaburi*+ hayatalizidi nguvu.+
14 Simoni, ambaye pia alimwita jina Petro,+ na Andrea ndugu yake, na Yakobo na Yohana,+ na Filipo+ na Bartholomayo,