Mathayo 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Akajibu, akasema: “Kila mmea ambao Baba yangu wa mbinguni hakuupanda utang’olewa.+ Waebrania 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini ukizaa miiba na mibaruti, hukataliwa na huwa karibu kulaaniwa;+ nao mwisho wake huchomwa.+