Marko 4:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa hiyo alikuwa akisema nao lile neno kwa mifano+ mingi ya namna hiyo, kwa kadiri walivyoweza kusikiliza. 1 Wakorintho 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na kwa hiyo, akina ndugu, mimi sikuweza kusema nanyi kama watu wa kiroho,+ bali kama watu wa kimwili, kama watoto+ katika Kristo.
33 Kwa hiyo alikuwa akisema nao lile neno kwa mifano+ mingi ya namna hiyo, kwa kadiri walivyoweza kusikiliza.
3 Na kwa hiyo, akina ndugu, mimi sikuweza kusema nanyi kama watu wa kiroho,+ bali kama watu wa kimwili, kama watoto+ katika Kristo.