Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 akaja kukaa katika jiji linaloitwa Nazareti,+ ili lipate kutimizwa lile lililosemwa kupitia manabii: “Yeye ataitwa Mnazareti.”+

  • Marko 1:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 akisema: “Tuna nini nawe, Yesu Mnazareti?+ Je, umekuja kutuangamiza? Ninajua+ wewe ni nani, Mtakatifu+ wa Mungu.”+

  • Marko 10:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Aliposikia kwamba ni Yesu Mnazareti, akaanza kupaaza sauti na kusema: “Mwana wa Daudi,+ Yesu, unirehemu!”+

  • Marko 14:67
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 67 na, alipomwona Petro akiota moto, akamtazama moja kwa moja na kusema: “Wewe, pia, ulikuwa pamoja na yule Mnazareti, Yesu huyu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki