Mathayo 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 akaja kukaa katika jiji linaloitwa Nazareti,+ ili lipate kutimizwa lile lililosemwa kupitia manabii: “Yeye ataitwa Mnazareti.”+ Marko 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 akisema: “Tuna nini nawe, Yesu Mnazareti?+ Je, umekuja kutuangamiza? Ninajua+ wewe ni nani, Mtakatifu+ wa Mungu.”+ Marko 10:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Aliposikia kwamba ni Yesu Mnazareti, akaanza kupaaza sauti na kusema: “Mwana wa Daudi,+ Yesu, unirehemu!”+ Marko 14:67 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 67 na, alipomwona Petro akiota moto, akamtazama moja kwa moja na kusema: “Wewe, pia, ulikuwa pamoja na yule Mnazareti, Yesu huyu.”+
23 akaja kukaa katika jiji linaloitwa Nazareti,+ ili lipate kutimizwa lile lililosemwa kupitia manabii: “Yeye ataitwa Mnazareti.”+
24 akisema: “Tuna nini nawe, Yesu Mnazareti?+ Je, umekuja kutuangamiza? Ninajua+ wewe ni nani, Mtakatifu+ wa Mungu.”+
47 Aliposikia kwamba ni Yesu Mnazareti, akaanza kupaaza sauti na kusema: “Mwana wa Daudi,+ Yesu, unirehemu!”+
67 na, alipomwona Petro akiota moto, akamtazama moja kwa moja na kusema: “Wewe, pia, ulikuwa pamoja na yule Mnazareti, Yesu huyu.”+