Matendo 20:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na alipokuwa amekaa huko kwa miezi mitatu, kwa sababu hila+ ilikuwa imetungwa juu yake na Wayahudi alipokuwa karibu kusafiri kwenda Siria, akaamua kurudi kupitia Makedonia.
3 Na alipokuwa amekaa huko kwa miezi mitatu, kwa sababu hila+ ilikuwa imetungwa juu yake na Wayahudi alipokuwa karibu kusafiri kwenda Siria, akaamua kurudi kupitia Makedonia.