Matendo 4:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Zaidi ya hayo, umati wa waliokuwa wameamini ulikuwa na moyo na nafsi moja,+ na hakuna hata mmoja aliyekuwa akisema kwamba chochote kati ya vitu vilivyokuwa mali yake kilikuwa chake mwenyewe; bali walikuwa na vitu vyote kwa ushirika.+
32 Zaidi ya hayo, umati wa waliokuwa wameamini ulikuwa na moyo na nafsi moja,+ na hakuna hata mmoja aliyekuwa akisema kwamba chochote kati ya vitu vilivyokuwa mali yake kilikuwa chake mwenyewe; bali walikuwa na vitu vyote kwa ushirika.+