11 Lakini usiku uliofuata Bwana akasimama kando yake+ na kusema: “Jipe moyo!+ Kwa maana kama vile ambavyo umekuwa ukitoa ushahidi+ kamili katika Yerusalemu juu ya mambo yanayonihusu, vivyo hivyo utatoa ushahidi katika Roma pia.”+
16 Hata hivyo, inuka usimame kwa miguu yako.+ Kwa maana nimejionyesha kwako kwa sababu hii, ili nikuchague wewe uwe mtumishi na shahidi+ wa mambo ambayo umeona na pia mambo nitakayokuonyesha juu yangu;