Matendo 22:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 kwa sababu unapaswa kuwa shahidi kwa ajili yake kwa watu wote juu ya mambo ambayo umeona na kusikia.+ Wagalatia 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 kwa maana sikuipokea kutoka kwa mwanadamu, wala sikufundishwa hiyo, isipokuwa kupitia ufunuo wa Yesu Kristo.+ 1 Timotheo 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mimi namshukuru Kristo Yesu Bwana wetu, aliyenipa nguvu, kwa sababu aliniona kuwa mwaminifu+ kwa kunigawia huduma,+
15 kwa sababu unapaswa kuwa shahidi kwa ajili yake kwa watu wote juu ya mambo ambayo umeona na kusikia.+
12 kwa maana sikuipokea kutoka kwa mwanadamu, wala sikufundishwa hiyo, isipokuwa kupitia ufunuo wa Yesu Kristo.+
12 Mimi namshukuru Kristo Yesu Bwana wetu, aliyenipa nguvu, kwa sababu aliniona kuwa mwaminifu+ kwa kunigawia huduma,+