15 Lakini Bwana akamwambia: “Ondoka uende, kwa sababu mtu huyu ni chombo kilichochaguliwa+ kwangu ili kupeleka jina langu kwa mataifa+ na vilevile kwa wafalme+ na wana wa Israeli.
6 ambaye kwa kweli ametustahilisha vya kutosha kuwa wahudumu wa agano jipya,+ si wa sheria zilizoandikwa,+ bali wa roho;+ kwa maana sheria zilizoandikwa huleta hukumu+ ya kifo, bali roho hufanya kuwa hai.+