Matendo 16:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Lakini Paulo akawaambia: “Walitupiga viboko hadharani bila kuhukumiwa kuwa wenye hatia, sisi tulio Waroma,+ na kututupa gerezani; na je, sasa wanatufukuza kwa siri? Hapana, hata kidogo! lakini acha wao wenyewe waje watutoe nje.”
37 Lakini Paulo akawaambia: “Walitupiga viboko hadharani bila kuhukumiwa kuwa wenye hatia, sisi tulio Waroma,+ na kututupa gerezani; na je, sasa wanatufukuza kwa siri? Hapana, hata kidogo! lakini acha wao wenyewe waje watutoe nje.”