25 Lakini walipokuwa wamemnyoosha ili apigwe mijeledi, Paulo akamwambia ofisa-jeshi aliyekuwa amesimama hapo: “Je, ni halali kwa ninyi watu kumpiga mijeledi mtu ambaye ni Mroma+ na ambaye hajahukumiwa kuwa mwenye hatia?”
27 Mwanamume huyu alikamatwa na Wayahudi nao walikuwa karibu kumuua, lakini nikaja ghafula nikiwa pamoja na jeshi la askari na kumwokoa,+ kwa sababu nilipata kujua kwamba yeye ni Mroma.+