37 Lakini Paulo akawaambia: “Walitupiga viboko hadharani bila kuhukumiwa kuwa wenye hatia, sisi tulio Waroma,+ na kututupa gerezani; na je, sasa wanatufukuza kwa siri? Hapana, hata kidogo! lakini acha wao wenyewe waje watutoe nje.”
25 Lakini walipokuwa wamemnyoosha ili apigwe mijeledi, Paulo akamwambia ofisa-jeshi aliyekuwa amesimama hapo: “Je, ni halali kwa ninyi watu kumpiga mijeledi mtu ambaye ni Mroma+ na ambaye hajahukumiwa kuwa mwenye hatia?”