Matendo 16:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Kwa hiyo wale maofisa wa polisi wakawaeleza mahakimu wa raia maneno hayo. Nao wakaogopa waliposikia kwamba watu hao walikuwa Waroma.+ Matendo 25:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini nikawajibu kwamba si utaratibu wa Kiroma kukabidhi mtu yeyote ili kupata kibali kabla ya mtu huyo aliyeshtakiwa kukutana uso kwa uso na washtaki+ wake na kupata nafasi ya kujitetea kuhusu malalamishi.
38 Kwa hiyo wale maofisa wa polisi wakawaeleza mahakimu wa raia maneno hayo. Nao wakaogopa waliposikia kwamba watu hao walikuwa Waroma.+
16 Lakini nikawajibu kwamba si utaratibu wa Kiroma kukabidhi mtu yeyote ili kupata kibali kabla ya mtu huyo aliyeshtakiwa kukutana uso kwa uso na washtaki+ wake na kupata nafasi ya kujitetea kuhusu malalamishi.