Luka 23:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo Pilato akawaambia wakuu wa makuhani na ule umati: “Mimi sioni uhalifu wa mtu huyu.”+ Matendo 25:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini mimi nikaona hakuwa amefanya jambo lolote linalostahili kifo.+ Kwa hiyo mwanamume huyu mwenyewe alipokata rufani+ kwa Mheshimiwa, niliamua kumpeleka.
25 Lakini mimi nikaona hakuwa amefanya jambo lolote linalostahili kifo.+ Kwa hiyo mwanamume huyu mwenyewe alipokata rufani+ kwa Mheshimiwa, niliamua kumpeleka.