Yohana 18:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Pilato akamwambia: “Kweli ni nini?” Na baada ya kusema hili, akatoka tena kwenda kwa Wayahudi na kuwaambia: “Mimi sioni kosa lolote ndani yake.+ Waebrania 7:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana kuhani mkuu wa namna hiyo alitufaa sisi,+ mshikamanifu,+ asiye na hila,+ asiye na unajisi,+ aliyetengwa kutoka kwa watenda-dhambi,+ na kuwa juu zaidi kuliko mbingu.+ 1 Petro 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yeye hakufanya dhambi,+ wala udanganyifu haukupatikana kinywani mwake.+
38 Pilato akamwambia: “Kweli ni nini?” Na baada ya kusema hili, akatoka tena kwenda kwa Wayahudi na kuwaambia: “Mimi sioni kosa lolote ndani yake.+
26 Kwa maana kuhani mkuu wa namna hiyo alitufaa sisi,+ mshikamanifu,+ asiye na hila,+ asiye na unajisi,+ aliyetengwa kutoka kwa watenda-dhambi,+ na kuwa juu zaidi kuliko mbingu.+