9 Lakini watu fulani wakasimama kati ya wale waliokuwa wakitoka katika lile lililoitwa Sinagogi la Watu Waliowekwa Huru, na kati ya Wakirene na Waaleksandria+ na kati ya wale wa kutoka Kilikia+ na Asia, ili kubishana na Stefano;
39 Ndipo Paulo akasema: “Mimi, kwa kweli, ni Myahudi+ wa Tarso+ katika Kilikia, raia wa jiji ambalo si lenye kukosa umashuhuri. Kwa hiyo ninakuomba, uniruhusu niseme na watu hawa.”