11 Bwana akamwambia: “Ondoka, uende kwenye barabara inayoitwa Nyoofu, na kwenye nyumba ya Yuda tafuta mtu anayeitwa jina Sauli, kutoka Tarso.+ Kwa maana, tazama! anasali,
3 “Mimi ni Myahudi,+ aliyezaliwa katika Tarso ya Kilikia,+ lakini aliyeelimishwa katika jiji hili miguuni pa Gamalieli,+ nikiwa nimefundishwa kwa usahihi+ kabisa Sheria ya mababu, nikiwa mwenye bidii+ kuhusu Mungu kama vile ninyi nyote mlivyo leo hii.