Matendo 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na wakuu wa makuhani na watu walio wakuu kati ya Wayahudi wakamweleza+ mashtaka juu ya Paulo. Basi wakaanza kumsihi, Matendo 25:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na nilipokuwa Yerusalemu wakuu wa makuhani na wanaume wazee wa Wayahudi walileta habari+ juu yake, wakiomba hukumu ya adhabu juu yake.
2 na wakuu wa makuhani na watu walio wakuu kati ya Wayahudi wakamweleza+ mashtaka juu ya Paulo. Basi wakaanza kumsihi,
15 na nilipokuwa Yerusalemu wakuu wa makuhani na wanaume wazee wa Wayahudi walileta habari+ juu yake, wakiomba hukumu ya adhabu juu yake.