Matendo 24:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Siku tano baadaye kuhani mkuu Anania+ akashuka pamoja na wanaume fulani wazee na msemaji wa hadharani, Tertulo, nao wakamweleza+ gavana+ juu ya Paulo. Matendo 25:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na nilipokuwa Yerusalemu wakuu wa makuhani na wanaume wazee wa Wayahudi walileta habari+ juu yake, wakiomba hukumu ya adhabu juu yake.
24 Siku tano baadaye kuhani mkuu Anania+ akashuka pamoja na wanaume fulani wazee na msemaji wa hadharani, Tertulo, nao wakamweleza+ gavana+ juu ya Paulo.
15 na nilipokuwa Yerusalemu wakuu wa makuhani na wanaume wazee wa Wayahudi walileta habari+ juu yake, wakiomba hukumu ya adhabu juu yake.