25 akamfungua+ yule mtu aliyekuwa ametupwa gerezani kwa uchochezi wa uasi na kuua na ambaye wao walikuwa wakidai, lakini akamtia Yesu mikononi mwao wamtendee wanavyopenda.+
9 Festo, akitamani kupata kibali+ cha Wayahudi, akasema kwa kumjibu Paulo: “Je, wewe ungetaka kupanda kwenda Yerusalemu uhukumiwe huko mbele yangu kuhusu mambo haya?”+