Yohana 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo majirani na wale ambao hapo zamani walikuwa wakimwona akiombaomba wakaanza kusema: “Je, huyu siye yule mtu aliyekuwa akiketi na kuombaomba?”+
8 Kwa hiyo majirani na wale ambao hapo zamani walikuwa wakimwona akiombaomba wakaanza kusema: “Je, huyu siye yule mtu aliyekuwa akiketi na kuombaomba?”+