Methali 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kinachotamanika katika mtu wa udongo ni fadhili zake zenye upendo;+ na maskini ni bora kuliko mtu anayesema uwongo.+ Matendo 28:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mwishowe, tulipoingia Roma, Paulo akaruhusiwa+ kukaa akiwa peke yake pamoja na askari-jeshi mwenye kumlinda.
22 Kinachotamanika katika mtu wa udongo ni fadhili zake zenye upendo;+ na maskini ni bora kuliko mtu anayesema uwongo.+
16 Mwishowe, tulipoingia Roma, Paulo akaruhusiwa+ kukaa akiwa peke yake pamoja na askari-jeshi mwenye kumlinda.