Matendo 24:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 nao hawakuniona katika hekalu+ nikibishana na mtu yeyote wala nikifanya kikundi chenye ghasia+ kikimbie pamoja, ama katika masinagogi ama kotekote katika jiji. Matendo 25:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini Paulo akasema kwa kujitetea: “Sijatenda dhambi yoyote juu ya Sheria ya Wayahudi wala juu ya hekalu wala juu ya Kaisari.”+
12 nao hawakuniona katika hekalu+ nikibishana na mtu yeyote wala nikifanya kikundi chenye ghasia+ kikimbie pamoja, ama katika masinagogi ama kotekote katika jiji.
8 Lakini Paulo akasema kwa kujitetea: “Sijatenda dhambi yoyote juu ya Sheria ya Wayahudi wala juu ya hekalu wala juu ya Kaisari.”+