-
Matendo 28:17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Hata hivyo, siku tatu baadaye akawaita pamoja wale waliokuwa wakuu wa Wayahudi. Walipokuwa wamekusanyika, akaanza kuwaambia: “Wanaume, akina ndugu, ijapokuwa sikuwa nimefanya jambo lolote kinyume cha watu au desturi za mababu zetu,+ nilitolewa nikiwa mfungwa Yerusalemu na kutiwa mikononi mwa Waroma.+
-