-
Matendo 28:17Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
17 Hata hivyo, siku tatu baadaye akawaita pamoja wale waliokuwa ndio watu walio wakubwa wa Wayahudi. Walipokuwa wamekusanyika, akaanza kuwaambia: “Wanaume, akina ndugu, ijapokuwa sikuwa nimefanya jambo lolote kinyume cha watu au desturi za baba zetu wa zamani, nilikabidhiwa nikiwa mfungwa kutoka Yerusalemu kuingizwa mikononi mwa Waroma.
-