Mathayo 10:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Majina ya wale mitume kumi na wawili+ ndiyo haya:+ Kwanza, Simoni, anaiyeitwa Petro,+ na Andrea+ ndugu yake; na Yakobo mwana wa Zebedayo+ na Yohana ndugu yake; Marko 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na kikundi cha wale kumi na wawili aliofanyiza walikuwa Simoni, ambaye pia alimpa jina Petro,+
2 Majina ya wale mitume kumi na wawili+ ndiyo haya:+ Kwanza, Simoni, anaiyeitwa Petro,+ na Andrea+ ndugu yake; na Yakobo mwana wa Zebedayo+ na Yohana ndugu yake;