45 Na waaminifu waliokuwa wamekuja pamoja na Petro ambao walikuwa kati ya wale waliotahiriwa wakashangaa, kwa sababu zawadi ya bure ya roho takatifu ilikuwa ikimiminwa pia juu ya watu wa mataifa.+
12 Kwa maana kabla ya kufika kwa watu fulani kutoka kwa Yakobo,+ alikuwa akila+ chakula pamoja na watu wa mataifa; lakini walipofika, akaanza kujiondoa na kujitenga mwenyewe, kwa kuwaogopa+ hao wa jamii ya waliotahiriwa.+