Matendo 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Naye Barnaba+ na Sauli, baada ya kutimiza kikamili ile huduma ya misaada+ katika Yerusalemu, wakarudi na kumchukua pamoja nao Yohana,+ aliyeitwa Marko. Wagalatia 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kisha baada ya miaka kumi na minne nilipanda tena kwenda Yerusalemu+ pamoja na Barnaba,+ nikichukua pia Tito pamoja nami.
25 Naye Barnaba+ na Sauli, baada ya kutimiza kikamili ile huduma ya misaada+ katika Yerusalemu, wakarudi na kumchukua pamoja nao Yohana,+ aliyeitwa Marko.
2 Kisha baada ya miaka kumi na minne nilipanda tena kwenda Yerusalemu+ pamoja na Barnaba,+ nikichukua pia Tito pamoja nami.