Matendo 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na walipofika Salami wakaanza kulitangaza neno la Mungu katika masinagogi ya Wayahudi. Pia walikuwa na Yohana+ akiwatumikia. Matendo 15:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Barnaba alikuwa ameazimia kumchukua Yohana pia, aliyeitwa Marko.+
5 Na walipofika Salami wakaanza kulitangaza neno la Mungu katika masinagogi ya Wayahudi. Pia walikuwa na Yohana+ akiwatumikia.