Matendo 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na walipofika Salami wakaanza kulitangaza neno la Mungu katika masinagogi ya Wayahudi. Pia walikuwa na Yohana+ akiwatumikia. Matendo 15:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Barnaba alikuwa ameazimia kumchukua Yohana pia, aliyeitwa Marko.+ Wakolosai 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Aristarko+ mateka mwenzangu anawatumia ninyi salamu zake, na pia Marko+ binamu ya Barnaba, (ambaye mlipokea amri kumhusu yeye ili mkamkaribishe+ ikiwa atakuja kwenu,)
5 Na walipofika Salami wakaanza kulitangaza neno la Mungu katika masinagogi ya Wayahudi. Pia walikuwa na Yohana+ akiwatumikia.
10 Aristarko+ mateka mwenzangu anawatumia ninyi salamu zake, na pia Marko+ binamu ya Barnaba, (ambaye mlipokea amri kumhusu yeye ili mkamkaribishe+ ikiwa atakuja kwenu,)