21 Baada ya kusikia hilo, wakaingia hekaluni wakati wa mapambazuko na kuanza kufundisha.
Basi kuhani mkuu na wale walio pamoja naye walipofika, wakaita pamoja Sanhedrini na kusanyiko lote la wanaume wazee wa wana wa Israeli,+ nao wakawatuma watu kwenye jela ili waletwe.